Saturday, December 1, 2012

HIKI NDICHO KILICHOMPELEKEA MAMA SAKINA KUPOTEZA FAHAMU KATIKA UZINDUZI WA ALBAM YA MASHUJAA NA JB MPIANA


Watu  mbalimbali wakiwa wamelizunguka jenereta leo usiku
  Mwanamuziki kutoka DRC-Congo,JB Mpiana akitumbuiza jukwaani mara baada ya kupanda mnamo majira ya saa tisa kasoro,baada ya hitilafu za umeme kwenye jenerata kurekebishwa.

HIT BACK YAWA KUTANISHA USO KWA USO YUSUF MLELA NA PHD ''HEMED''

 
 
"HIT BACK" Ni hadithi ya wanandugu watatu (three brothers) STANLEY MSUNGU, YUSUPH MLELA na HEMED SULEIMAN, ambao hawakujuana kabla kutokana na mazingira ya makuzi yao, japo wawili kati yao (STANLEY MSUNGU na HEMED SULEIMAN)
wanajua lakini wanamficha mwenzao kwa sababu