Wednesday, November 28, 2012

Jacklyn wolper aja na tamko rasmi akiachwa tena na Mpenzi wake

PAMOJA na kukataa kumwanika hadharani mpenzi wake mpya, staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe amesema kuwa akipigwa chini na jamaa yake huyo, atatimka nchi na kwenda kuolewa uarabuni.

Tuesday, November 27, 2012

WASANII WAJIANDAA KUELEKEA TANGA KWA MAZISHI YA SHARO MILIONEA.



Wasanii wa filamu Tanzania wajiaandaa kusafiri kuelekea Tanga leo jioni mara tu baada ya kwisha mzika msanii mwenzao aliyefariki jumamosi John S. Maganga baada ya kuugua tumbo la ghafla na atazikwa makaburi ya kinondoni leo jioni.

Monday, November 26, 2012

Imethibitishwa:sharo millionea Aaaga dunia kwa ajari ya Gari muda mfupi huko Tanga

Kuna habari kwamba SHARO MILIONEA AMEFARIKI KWA AJALI YA GARI HUKO MUHEZA. ~ Source Channel Ten TV na channel 5 ambapo Blog ya Bajomba bado inaendelea kupata Update ya Taarifa ya kifo kilichotokea huko Muheza Tanga

Sunday, November 25, 2012

BONGO MOVIE WAJIPANGA KUCHAGUA VIONGOZI WAPYA



Bongo Movie inatarajia kufanya uchaguzi wa viongozi wake ambao wataweza kuliongoza gurudumu la filamu kusonga mbele zaidi kutokana na kuwepo na taarifa kuwa viongozi waliopo ni wabinafsi na wanajinufaisha wenyewe.

Kwa mujibu wa katiba ya Bongo Movie viongozi hukaa madarakani kwa mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mpya ambapo viongozi waliopita huruhusiwa kugombea tena.


“Kwanza sisi tuna katiba yetu ambayo inaendesha klabu yetu kwahiyo katiba yetu moja ya vipengele ni namna ya uchaguzi, uongozi unakaa madarakani kwa muda wa mwaka mmoja kwahiyo inapofika lazima sheria ifuatwa ndio maana tunafanya uchaguzi mwishoni mwa mwezi huu na kikao cha kujadili uchaguzi huo utafanyia wapi tutajadili Jumanne tarehe 20 wiki ijayo, “mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi ya Bongo Movie ya uchaguzi Jimmy mafufu 

Ndoa ya Aunt Ezekiel na Mume wake ndivyo ilivyomalika hivi ndani ya Dubai



                                           Mr and Mrs Demonte....


                              HUYU  NDO  BABA  WATOTO  WA AUNT  EZEKIEL.....

Msanii mwingine wa Bongo Movie aliaga Dunia Huyu Hapa.Unakumbuka movie ya Mrembo Kikojozi.

KWA HABARI zilizotufikia hivi punde zinadai kuwa msanii muigizaji ambaye anatambulika kwa jina la John Stephano amefariki dunia asubui ya kuamkia leo akiwa amelazwa katika hospitali ya muhimbili kwa ajili ya matibabumsanii

Friday, November 23, 2012

Ndoa ya Aunt Ezekiel na Mume wake ndivyo ilivyomalika hivi ndani ya Dubai



                                           Mr and Mrs Demonte....


                              HUYU  NDO  BABA  WATOTO  WA AUNT  EZEKIEL.....